Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on July 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Kawawa (Guest) on May 19, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on April 25, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on April 24, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 26, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Martin Otieno (Guest) on February 27, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on February 21, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on January 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Lissu (Guest) on December 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on November 29, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 20, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on September 5, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on September 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Hassan (Guest) on June 27, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 19, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Kidata (Guest) on June 3, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 12, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Mahiga (Guest) on April 17, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Kimani (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Monica Lissu (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Muthoni (Guest) on March 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on March 2, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Salma (Guest) on February 27, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 10, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on December 18, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 29, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 23, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rahim (Guest) on October 13, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sultan (Guest) on September 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakia (Guest) on September 14, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on June 5, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?