Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Fikiri (Guest) on March 17, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sekela (Guest) on January 19, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Nyerere (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Malecela (Guest) on January 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 17, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 12, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on October 27, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on October 22, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 12, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Mwangi (Guest) on August 8, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Francis Mrope (Guest) on July 16, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on June 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Amina (Guest) on May 30, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 18, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on March 25, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on March 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on March 10, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Linda Karimi (Guest) on March 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on January 3, 2022

😊🀣πŸ”₯

Raphael Okoth (Guest) on January 2, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on December 18, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on December 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 20, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Juma (Guest) on October 21, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kikwete (Guest) on October 1, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Paul Kamau (Guest) on September 11, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on August 16, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mushi (Guest) on July 29, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on July 10, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on April 29, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 23, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 26, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Dorothy Nkya (Guest) on December 22, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Miriam Mchome (Guest) on December 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on November 18, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mhina (Guest) on October 28, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Tabu (Guest) on October 12, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mwajuma (Guest) on October 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mercy Atieno (Guest) on October 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on September 21, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Husna (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More