Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mohamed (Guest) on June 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Daniel Obura (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Richard Mulwa (Guest) on June 2, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on April 22, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on April 5, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 5, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Yahya (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Irene Akoth (Guest) on February 10, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on January 26, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on January 18, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mchuma (Guest) on January 13, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mazrui (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on December 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on December 24, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on December 23, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 13, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on October 24, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Masika (Guest) on October 7, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on October 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on September 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rukia (Guest) on September 21, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Waithera (Guest) on September 21, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mariam (Guest) on September 20, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on September 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Anna Malela (Guest) on August 25, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on August 18, 2021

🀣πŸ”₯😊

Mary Kidata (Guest) on August 17, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Halima (Guest) on August 7, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Mallya (Guest) on July 12, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 28, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on June 14, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on June 9, 2021

😊🀣πŸ”₯

Grace Wairimu (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 30, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sharifa (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Mushi (Guest) on March 28, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Abdullah (Guest) on January 29, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on January 29, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sharifa (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on July 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on June 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
πŸ“– Explore More Articles