Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mohamed (Guest) on June 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Daniel Obura (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Richard Mulwa (Guest) on June 2, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on April 22, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on April 5, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 5, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Yahya (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Irene Akoth (Guest) on February 10, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on January 26, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on January 18, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mchuma (Guest) on January 13, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mazrui (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on December 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on December 24, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on December 23, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 13, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on October 24, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Masika (Guest) on October 7, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on October 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on September 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rukia (Guest) on September 21, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Waithera (Guest) on September 21, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mariam (Guest) on September 20, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on September 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Anna Malela (Guest) on August 25, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on August 18, 2021

🀣πŸ”₯😊

Mary Kidata (Guest) on August 17, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Halima (Guest) on August 7, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Mallya (Guest) on July 12, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 28, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on June 14, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on June 9, 2021

😊🀣πŸ”₯

Grace Wairimu (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 30, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sharifa (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Mushi (Guest) on March 28, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Abdullah (Guest) on January 29, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on January 29, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sharifa (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on July 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on June 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
πŸ“– Explore More Articles