Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Featured Image

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake frank ambaye ni kipofu, akamkaribisha ndani akakaa, dem kavua ile kanga akabaki uchi akainama akaanza kujipaka mafuta akijua frank hamuoni na mazungumzo yakawa ni Haya..

DEM: VIPI FRANK MBONA UMEPOTEA YAANI HUONEKANI SIKU HIZI..?

FRANK: AH NILIENDA INDIA KUFANYIWA OPERESHENI YA MACHO SASA HIVI NAONA VIZURI KABISA!…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Mallya (Guest) on November 13, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on October 18, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Henry Mollel (Guest) on October 17, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on September 3, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nancy Kawawa (Guest) on July 26, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

David Kawawa (Guest) on July 18, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Lydia Mutheu (Guest) on July 10, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 8, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on June 1, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 14, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Omari (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Simon Kiprono (Guest) on April 22, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on April 10, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Faith Kariuki (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 17, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on March 10, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sharifa (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Sokoine (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Janet Mbithe (Guest) on January 30, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mchuma (Guest) on January 29, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Kevin Maina (Guest) on January 2, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nora Kidata (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rashid (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Janet Sumaye (Guest) on December 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on November 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

James Kimani (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on August 2, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mwachumu (Guest) on July 29, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Kawawa (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on June 25, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Hashim (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Abdillah (Guest) on May 26, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on May 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Salima (Guest) on May 21, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

John Kamande (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rahma (Guest) on April 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Mbise (Guest) on April 10, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on March 20, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Mallya (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Alex Nakitare (Guest) on February 25, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nancy Kabura (Guest) on February 23, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on February 18, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on February 11, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on December 31, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Shabani (Guest) on December 9, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Peter Otieno (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Nyerere (Guest) on November 9, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 8, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on November 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Bernard Oduor (Guest) on October 28, 2020

😊🀣πŸ”₯

Janet Mbithe (Guest) on September 7, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on July 11, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Related Posts

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About