Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Violet Mumo (Guest) on February 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on January 7, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jackson Makori (Guest) on December 30, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Chiku (Guest) on December 22, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on October 23, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Tenga (Guest) on October 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 2, 2021

😊🀣πŸ”₯

Lydia Wanyama (Guest) on September 6, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on August 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on July 5, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Irene Akoth (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rehema (Guest) on June 9, 2021

Asante Ackyshine

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 7, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on April 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Saidi (Guest) on March 6, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nekesa (Guest) on February 15, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on February 7, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on January 10, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on January 6, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on December 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Husna (Guest) on November 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zawadi (Guest) on September 28, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwalimu (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Elizabeth Malima (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 17, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Amani (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Akumu (Guest) on July 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ramadhan (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lucy Kimotho (Guest) on May 6, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Zubeida (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on March 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Issa (Guest) on January 9, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwanahawa (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Robert Okello (Guest) on December 18, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on December 2, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Omari (Guest) on September 28, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salma (Guest) on September 16, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 23, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mary Mrope (Guest) on July 28, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on July 18, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mwajabu (Guest) on July 15, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Daudi (Guest) on July 4, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Wilson Ombati (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on June 22, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

πŸ“– Explore More Articles