Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hekima (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Rose Mwinuka (Guest) on March 24, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on March 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on March 2, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on February 12, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on January 27, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Khadija (Guest) on January 25, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Nora Kidata (Guest) on January 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Amir (Guest) on January 16, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ramadhan (Guest) on December 21, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on December 21, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rabia (Guest) on November 24, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Shamsa (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mchawi (Guest) on July 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nashon (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on July 15, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Sumari (Guest) on July 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mtaki (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kawawa (Guest) on June 11, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issa (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on May 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 29, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Simon Kiprono (Guest) on April 15, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zawadi (Guest) on April 15, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on April 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on April 5, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on February 24, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on February 21, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on February 19, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on January 27, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samson Mahiga (Guest) on July 29, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Musyoka (Guest) on July 6, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on July 5, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Edith Cherotich (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 1, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Mwinuka (Guest) on June 21, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on June 10, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Shukuru (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Were (Guest) on May 3, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 27, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on February 26, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 15, 2018

😊🀣πŸ”₯

Miriam Mchome (Guest) on February 4, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on February 1, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Amir (Guest) on December 30, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on December 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

πŸ“– Explore More Articles