Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Karani (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Halima (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on January 12, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on January 11, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on December 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Amina (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on September 21, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Wangui (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Salma (Guest) on August 1, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on June 22, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Nancy Komba (Guest) on June 9, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

James Kimani (Guest) on May 11, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on May 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jaffar (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 21, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on April 2, 2019

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on March 23, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Njuguna (Guest) on March 11, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

David Kawawa (Guest) on February 21, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on December 4, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Christopher Oloo (Guest) on November 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on November 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on October 16, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on October 6, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Chepkoech (Guest) on September 9, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanahawa (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Richard Mulwa (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Minja (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Maneno (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on July 7, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 29, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 27, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Stephen Malecela (Guest) on May 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 9, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on April 20, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on April 13, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Samson Tibaijuka (Guest) on April 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on April 8, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Diana Mallya (Guest) on February 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on February 15, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nassor (Guest) on January 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jane Malecela (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kikwete (Guest) on December 25, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Hashim (Guest) on October 23, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on October 17, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More