Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Robert Okello (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Binti (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Irene Akoth (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Amani (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Achieng (Guest) on September 20, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Kawawa (Guest) on September 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Monica Lissu (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Bahati (Guest) on July 27, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on July 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on July 14, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Sarah Karani (Guest) on June 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Hashim (Guest) on May 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on April 28, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on April 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kheri (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kahina (Guest) on January 7, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 26, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on December 16, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Sarah Achieng (Guest) on December 16, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on November 30, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on November 27, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Christopher Oloo (Guest) on November 8, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Selemani (Guest) on November 7, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Kawawa (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Betty Kimaro (Guest) on October 28, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on October 4, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zawadi (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alex Nakitare (Guest) on August 16, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Macha (Guest) on August 1, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on July 18, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Wangui (Guest) on July 10, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on June 17, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on June 9, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mzee (Guest) on April 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chum (Guest) on March 28, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on March 22, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rubea (Guest) on March 7, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on February 4, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Grace Wairimu (Guest) on December 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on December 12, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 10, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on October 27, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on October 12, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Njeri (Guest) on October 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on September 22, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on August 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Kiwanga (Guest) on August 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About