Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?

JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kawawa (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on December 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 7, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Lissu (Guest) on November 5, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 2, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on August 22, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on July 27, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Njoroge (Guest) on June 8, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 12, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on April 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Paul Kamau (Guest) on March 31, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 10, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Grace Minja (Guest) on March 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 20, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 8, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on January 17, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Mussa (Guest) on January 16, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Musyoka (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on December 15, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 10, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on November 25, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lydia Mutheu (Guest) on November 20, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on November 5, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on November 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on October 10, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Nyerere (Guest) on September 20, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Maimuna (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on August 23, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ann Awino (Guest) on August 12, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 12, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on August 11, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on August 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Edward Lowassa (Guest) on July 3, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on June 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Martin Otieno (Guest) on May 3, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on March 27, 2018

😊🀣πŸ”₯

Mwanais (Guest) on March 26, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rose Kiwanga (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on March 6, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Michael Onyango (Guest) on February 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 24, 2018

🀣πŸ”₯😊

Patrick Mutua (Guest) on January 3, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Irene Makena (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 17, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Chris Okello (Guest) on November 17, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 6, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on August 9, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Kimario (Guest) on June 21, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
πŸ“– Explore More Articles