Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on July 29, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on June 25, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mugendi (Guest) on June 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on March 30, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthui (Guest) on March 30, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on March 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 19, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on February 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on October 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 17, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Daudi (Guest) on July 29, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nahida (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Mallya (Guest) on July 17, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on July 8, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 4, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Rehema (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on June 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 15, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Martin Otieno (Guest) on March 19, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on February 28, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rukia (Guest) on December 17, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on December 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ahmed (Guest) on December 8, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on November 30, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Elizabeth Mrope (Guest) on November 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on November 1, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Margaret Anyango (Guest) on September 4, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 26, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 20, 2015

Asante Ackyshine

Linda Karimi (Guest) on July 24, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on May 16, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Lowassa (Guest) on May 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on April 26, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 8, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baridi (Guest) on April 8, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 8, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About