Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on July 29, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on June 25, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mugendi (Guest) on June 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on March 30, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthui (Guest) on March 30, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on March 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 19, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on February 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on October 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 17, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Daudi (Guest) on July 29, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nahida (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Mallya (Guest) on July 17, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on July 8, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 4, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Rehema (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on June 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 15, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Martin Otieno (Guest) on March 19, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on February 28, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rukia (Guest) on December 17, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on December 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ahmed (Guest) on December 8, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on November 30, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Elizabeth Mrope (Guest) on November 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on November 1, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Margaret Anyango (Guest) on September 4, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 26, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 20, 2015

Asante Ackyshine

Linda Karimi (Guest) on July 24, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on May 16, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Lowassa (Guest) on May 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on April 26, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 8, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baridi (Guest) on April 8, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 8, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

πŸ“– Explore More Articles