Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!
Date: December 25, 2020
Author: SW - Melkisedeck Shine
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.
Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",
Wakapiga magotiβ¦:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emenβ¦
MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emenβ¦
MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimyaβ¦
MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: β¦β¦.!!
MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.
Chezea mawaifu walokole wewe!
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<...
Read More
MKE NA MCHEPUKO.
Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin...
Read More
Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut...
Read More
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa?
Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo?
Dogo: nimesikia b...
Read More
Kiingereza shidaaaaβ¦β¦!
Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha...
Read More
MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wakeβ¦bac...
Read More
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπ, akaenda hospital akawekewa macho ya pakaππ±,
dokt...
Read More
Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ...
Read More
Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g...
Read More
SINA MBAVU NA HIKI KISA;
BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!
Baada ya mwiz kuvamia nyum...
Read More
Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja...
Read More
Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ...
Read More
Mercy Atieno (Guest) on March 30, 2017
π Hii ni kali sana!
Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2017
π Kali sana!
Grace Mushi (Guest) on February 18, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Patrick Akech (Guest) on February 13, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2017
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Mary Sokoine (Guest) on January 8, 2017
ππ€£π₯
Mwachumu (Guest) on December 30, 2016
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Nassar (Guest) on December 23, 2016
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Amina (Guest) on December 7, 2016
π Hii imenigonga kweli!
Alice Mwikali (Guest) on December 7, 2016
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Isaac Kiptoo (Guest) on October 21, 2016
π€£π₯π
Anthony Kariuki (Guest) on October 15, 2016
Nimeipenda hii joke! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on October 10, 2016
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Hawa (Guest) on October 2, 2016
π€£ Hii imewaka moto!
Sekela (Guest) on September 14, 2016
π Nitaiiba hii bila shaka!
Grace Njuguna (Guest) on August 16, 2016
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Stephen Amollo (Guest) on July 26, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Joseph Njoroge (Guest) on July 25, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Janet Mwikali (Guest) on July 25, 2016
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Athumani (Guest) on July 20, 2016
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Grace Mushi (Guest) on July 18, 2016
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Issack (Guest) on July 11, 2016
π Kali sana!
Nora Kidata (Guest) on June 22, 2016
ππ
Aziza (Guest) on June 17, 2016
π Dhahabu ya vichekesho!
Raha (Guest) on May 20, 2016
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Sharifa (Guest) on May 11, 2016
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Tabitha Okumu (Guest) on May 3, 2016
π πππ
George Ndungu (Guest) on April 23, 2016
π€£πππ
Alice Wanjiru (Guest) on April 20, 2016
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Asha (Guest) on April 18, 2016
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Michael Mboya (Guest) on April 14, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Janet Mbithe (Guest) on April 2, 2016
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2016
Hii imenichekesha sana! ππ
Jackson Makori (Guest) on January 30, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Kenneth Murithi (Guest) on January 12, 2016
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Andrew Mahiga (Guest) on January 4, 2016
π Lazima nihifadhi hii!
Brian Karanja (Guest) on December 22, 2015
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Patrick Kidata (Guest) on November 14, 2015
π Nilihitaji hii!
Yahya (Guest) on October 20, 2015
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Michael Mboya (Guest) on September 26, 2015
π Hii ni ya kuhifadhi!
Francis Njeru (Guest) on September 22, 2015
π€£ππ
Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Hekima (Guest) on September 12, 2015
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Stephen Malecela (Guest) on August 10, 2015
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Stephen Mushi (Guest) on August 1, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Frank Sokoine (Guest) on July 12, 2015
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2015
π€£ Sikutarajia hiyo!
Thomas Mwakalindile (Guest) on May 26, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Warda (Guest) on May 21, 2015
π Ninaihifadhi hii!
Vincent Mwangangi (Guest) on May 2, 2015
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Tabitha Okumu (Guest) on April 30, 2015
Umesema kweli! ππ
Mazrui (Guest) on April 25, 2015
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Agnes Sumaye (Guest) on April 21, 2015
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Nassor (Guest) on April 10, 2015
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Mary Kendi (Guest) on April 1, 2015
π Siwezi kuacha kucheka na hii!