Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Nkya (Guest) on December 5, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on November 14, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on November 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nora Lowassa (Guest) on October 31, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on October 27, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

John Mushi (Guest) on October 26, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 26, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 8, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mary Mrope (Guest) on September 2, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on August 28, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Chacha (Guest) on June 30, 2017

Asante Ackyshine

David Musyoka (Guest) on June 18, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on June 18, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on June 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 14, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Frank Macha (Guest) on May 11, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on April 6, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mary Mrope (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on February 4, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ahmed (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Mbise (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Abdillah (Guest) on November 23, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Majid (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Zakia (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alice Wanjiru (Guest) on September 27, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on September 13, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Abubakari (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Michael Onyango (Guest) on August 21, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alex Nakitare (Guest) on August 14, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kamau (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Peter Mbise (Guest) on April 20, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Jane Malecela (Guest) on April 19, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Minja (Guest) on April 13, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on April 10, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Hekima (Guest) on March 26, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on March 6, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on March 3, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on February 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on January 26, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on January 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on December 17, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on November 29, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Irene Akoth (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joyce Mussa (Guest) on October 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Musyoka (Guest) on September 12, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Robert Ndunguru (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Amukowa (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on April 15, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
πŸ“– Explore More Articles