Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Nkya (Guest) on December 5, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on November 14, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on November 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nora Lowassa (Guest) on October 31, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on October 27, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

John Mushi (Guest) on October 26, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 26, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 8, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mary Mrope (Guest) on September 2, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on August 28, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Chacha (Guest) on June 30, 2017

Asante Ackyshine

David Musyoka (Guest) on June 18, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on June 18, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on June 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 14, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Frank Macha (Guest) on May 11, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on April 6, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mary Mrope (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on February 4, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ahmed (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Mbise (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Abdillah (Guest) on November 23, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Majid (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Zakia (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alice Wanjiru (Guest) on September 27, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on September 13, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Abubakari (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Michael Onyango (Guest) on August 21, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alex Nakitare (Guest) on August 14, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kamau (Guest) on July 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Peter Mbise (Guest) on April 20, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Jane Malecela (Guest) on April 19, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Minja (Guest) on April 13, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on April 10, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Hekima (Guest) on March 26, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on March 6, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on March 3, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on February 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on January 26, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on January 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on December 17, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on November 29, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Irene Akoth (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joyce Mussa (Guest) on October 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Musyoka (Guest) on September 12, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Robert Ndunguru (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Amukowa (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on April 15, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About