Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mzee (Guest) on July 22, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on June 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 7, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Njeru (Guest) on May 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 14, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on February 15, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rahim (Guest) on February 8, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Charles Mboje (Guest) on January 7, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sekela (Guest) on December 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on December 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on November 27, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Agnes Sumaye (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwajabu (Guest) on November 15, 2016

Asante Ackyshine

Charles Mchome (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 11, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on August 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 11, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on July 1, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 16, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on April 26, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on April 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 24, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on February 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on December 18, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fadhila (Guest) on December 15, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mrema (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Kawawa (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Zuhura (Guest) on October 30, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yahya (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on September 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khamis (Guest) on July 11, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2015

🀣πŸ”₯😊

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nyota (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tambwe (Guest) on April 10, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Grace Minja (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 2, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Related Posts

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About