Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Featured Image

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…

Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.

Bibi akampachika jamaa jinsia ya kike alipofika mahakamani kuhojiwa akasema mi sijampa ujauzito kwasababu minina jinsia ya kike pia…!
Kwa kuthibitisha akajifunua nguo, basi jamaa akashinda kesi.

Jamaa akawa anarudi Home, lakini wakati anakaribia kufika akaona watu wengi wamejaa home wanalia akauliza kulikoni akaambiwa "Bibi amefariki"!

Vuta picha hapo…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2017

🀣πŸ”₯😊

Moses Mwita (Guest) on April 3, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rehema (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

George Mallya (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

George Mallya (Guest) on January 1, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Habiba (Guest) on December 19, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Patrick Mutua (Guest) on December 15, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Hellen Nduta (Guest) on December 15, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Stephen Malecela (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on November 22, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on November 1, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on October 30, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ali (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on October 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on October 17, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on October 9, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Maimuna (Guest) on October 2, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Raphael Okoth (Guest) on September 16, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwakisu (Guest) on September 9, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Betty Kimaro (Guest) on August 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on August 12, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

George Tenga (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on July 31, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Arifa (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on July 29, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Abubakari (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Tenga (Guest) on July 16, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on June 14, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on May 31, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Francis Njeru (Guest) on May 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Christopher Oloo (Guest) on April 23, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on April 17, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on April 8, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwajuma (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 18, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

David Chacha (Guest) on March 10, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anthony Kariuki (Guest) on March 9, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on February 17, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on January 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Mbithe (Guest) on November 9, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on October 31, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ali (Guest) on October 23, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Samson Mahiga (Guest) on October 15, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Tabu (Guest) on October 13, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Robert Okello (Guest) on September 20, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwalimu (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nassar (Guest) on August 11, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Majid (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

John Mushi (Guest) on July 1, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fikiri (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alex Nyamweya (Guest) on June 16, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Musyoka (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nassor (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kazija (Guest) on April 23, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About