Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Faiza (Guest) on October 3, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on August 29, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nuru (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Anna Sumari (Guest) on July 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on July 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Khatib (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 6, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanaidi (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜† Kali sana!

John Mwangi (Guest) on April 7, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Kibicho (Guest) on February 23, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on February 6, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on January 25, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Hellen Nduta (Guest) on January 9, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Sarah Mbise (Guest) on December 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Sarah Karani (Guest) on November 17, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on November 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 2, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on October 30, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on October 26, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on September 24, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Majid (Guest) on August 9, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

John Malisa (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Sekela (Guest) on May 1, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on April 21, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on April 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Khadija (Guest) on March 25, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Lowassa (Guest) on March 10, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mbise (Guest) on March 4, 2016

Asante Ackyshine

Elijah Mutua (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Kawawa (Guest) on January 21, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on December 21, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on December 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Asha (Guest) on December 15, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Aziza (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Kimario (Guest) on November 1, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 30, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Baridi (Guest) on October 28, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Malela (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on July 20, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Diana Mumbua (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Tambwe (Guest) on June 23, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Hassan (Guest) on June 17, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on May 27, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Kimotho (Guest) on May 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Mallya (Guest) on May 10, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Patrick Akech (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Related Posts

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More