Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Daudi (Guest) on September 25, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwajuma (Guest) on July 16, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthoni (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Stephen Amollo (Guest) on May 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on May 3, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Shabani (Guest) on March 27, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chum (Guest) on February 19, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on February 13, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Ahmed (Guest) on January 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mchome (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kawawa (Guest) on November 28, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mustafa (Guest) on November 12, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Yahya (Guest) on September 17, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 15, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mariam Kawawa (Guest) on June 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Amina (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Agnes Lowassa (Guest) on June 9, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on May 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 30, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 23, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on April 20, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 18, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 7, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 7, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 15, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on February 20, 2016

Asante Ackyshine

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on December 27, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Wande (Guest) on December 20, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on November 21, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Ndungu (Guest) on November 17, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on October 17, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mashaka (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on September 10, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on September 8, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Bernard Oduor (Guest) on August 17, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 13, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Tabitha Okumu (Guest) on July 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on July 15, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 6, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on June 25, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 20, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Yusra (Guest) on May 28, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on April 4, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

πŸ“– Explore More Articles