Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?

HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.

WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anthony Kariuki (Guest) on October 25, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on October 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on October 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hawa (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rashid (Guest) on August 21, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Wilson Ombati (Guest) on August 16, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 26, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on July 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 9, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Furaha (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on April 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 3, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rabia (Guest) on February 17, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 29, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nakitare (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Andrew Mahiga (Guest) on September 9, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on July 22, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on July 10, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanaidi (Guest) on June 27, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Francis Mrope (Guest) on May 15, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halimah (Guest) on April 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Ndunguru (Guest) on April 21, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Makame (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Carol Nyakio (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Amina (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mariam Hassan (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fadhila (Guest) on February 19, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on January 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mrope (Guest) on November 15, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on October 25, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jaffar (Guest) on October 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on September 20, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Kendi (Guest) on September 19, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kahina (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mercy Atieno (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Tenga (Guest) on September 6, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Mrope (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Halima (Guest) on July 28, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jane Muthui (Guest) on July 25, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on June 4, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on May 31, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on May 15, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 22, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About