Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Featured Image

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo:
Manka 35,000
Marieta 20,000
Kekuu 30,000

Kitime 15,000
Kinabo 10,000
TOTAL 110,000/=
MASSAWE akaicheki akasema "Wote nitawalipia lakini huyo "TOTAL" Yesuu simlipii.
Kwansa anamiliki sheli kibao sa mafuta hapa bongo. Shensi taip ! Na amekunywa nyingi kuliko wote alipe mwenyewe…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alice Mwikali (Guest) on June 20, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

John Mushi (Guest) on April 7, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on April 4, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on March 28, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on March 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on March 14, 2017

🀣πŸ”₯😊

Isaac Kiptoo (Guest) on March 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on February 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Issa (Guest) on January 31, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Tabitha Okumu (Guest) on January 6, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lydia Wanyama (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 24, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on December 21, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mchuma (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mahiga (Guest) on November 28, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mchawi (Guest) on November 27, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sharon Kibiru (Guest) on November 15, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Bernard Oduor (Guest) on November 15, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ann Awino (Guest) on October 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on October 17, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Onyango (Guest) on October 6, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on October 4, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on September 7, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on August 3, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on July 29, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Kawawa (Guest) on July 26, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Peter Otieno (Guest) on July 10, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on July 9, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 8, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Sarah Mbise (Guest) on April 9, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

James Kimani (Guest) on April 1, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on March 29, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nancy Komba (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Miriam Mchome (Guest) on March 14, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ruth Kibona (Guest) on February 11, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Rubea (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

George Ndungu (Guest) on November 14, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on November 2, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 30, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mchuma (Guest) on October 24, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on September 19, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on September 4, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on September 1, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on August 9, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on July 13, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Ibrahim (Guest) on May 15, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Bernard Oduor (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Related Posts

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More