Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal: Jamaa: dada mi nakupenda saana Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu… Dem: niache… Jamaa: kweli nakupenda mpnz Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!! Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on April 14, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Fikiri (Guest) on April 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on April 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 17, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwafirika (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on January 31, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 17, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rehema (Guest) on January 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mrema (Guest) on December 26, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Binti (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ann Wambui (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on October 28, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on October 12, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on October 7, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elijah Mutua (Guest) on September 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Alice Wanjiru (Guest) on September 10, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Raphael Okoth (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Paul Kamau (Guest) on June 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on June 21, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mwangi (Guest) on June 11, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jane Malecela (Guest) on May 6, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

John Lissu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 10, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nahida (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Agnes Njeri (Guest) on February 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rahma (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on December 21, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Lissu (Guest) on December 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 7, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

John Mushi (Guest) on December 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 21, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 12, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Mbithe (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on October 25, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on September 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Martin Otieno (Guest) on September 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanajuma (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Baraka (Guest) on June 24, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on June 12, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on May 24, 2015

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mushi (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Lissu (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More