Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mustafa (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Sokoine (Guest) on September 1, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on August 5, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on July 21, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on July 14, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rabia (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Shukuru (Guest) on April 29, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on March 2, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on February 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on February 11, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Mahiga (Guest) on February 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on October 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on September 19, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Musyoka (Guest) on August 22, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Paul Ndomba (Guest) on June 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Malima (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 5, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on May 1, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 25, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on March 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Akinyi (Guest) on February 28, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on February 26, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on February 21, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on February 15, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwafirika (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joy Wacera (Guest) on December 5, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Chris Okello (Guest) on November 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on September 10, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on August 11, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Biashara (Guest) on May 27, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Mushi (Guest) on April 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Okello (Guest) on April 13, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 3, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About