Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mustafa (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Sokoine (Guest) on September 1, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on August 5, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on July 21, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on July 14, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rabia (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Shukuru (Guest) on April 29, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edward Lowassa (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Wanjiku (Guest) on March 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on March 2, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on February 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on February 11, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Mahiga (Guest) on February 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on October 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on September 19, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Musyoka (Guest) on August 22, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Paul Ndomba (Guest) on June 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Malima (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 5, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on May 1, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 25, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on March 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Akinyi (Guest) on February 28, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on February 26, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on February 21, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on February 15, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwafirika (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joy Wacera (Guest) on December 5, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Chris Okello (Guest) on November 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on September 10, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on August 11, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on June 22, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Biashara (Guest) on May 27, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Mushi (Guest) on April 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Okello (Guest) on April 13, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on April 3, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More