Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi

UFAFANUZI

1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu

2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora

3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Kawawa (Guest) on March 7, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

James Malima (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on February 6, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on January 9, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on December 22, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on December 20, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on December 3, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on November 27, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on September 23, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Makame (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mzee (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mary Sokoine (Guest) on August 22, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Kipkemboi (Guest) on June 18, 2016

😊🀣πŸ”₯

Elizabeth Mrope (Guest) on June 11, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 31, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on May 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Mwalimu (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Emily Chepngeno (Guest) on April 17, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on March 27, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on March 15, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on March 11, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on February 4, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Bakari (Guest) on January 11, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ruth Mtangi (Guest) on December 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on December 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shukuru (Guest) on October 13, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jane Muthui (Guest) on October 10, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on October 3, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on October 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on September 21, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 14, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam (Guest) on September 13, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on September 7, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Tenga (Guest) on August 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mrope (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Anna Mahiga (Guest) on August 15, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Umi (Guest) on July 11, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fredrick Mutiso (Guest) on June 9, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joyce Aoko (Guest) on May 14, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on April 28, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About