Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on May 20, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Sumari (Guest) on April 27, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Bakari (Guest) on March 30, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lucy Wangui (Guest) on February 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on January 27, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rahim (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nora Kidata (Guest) on January 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on December 31, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Lowassa (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on December 22, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Mrema (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on December 10, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on December 4, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Jebet (Guest) on November 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on November 14, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on October 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on August 23, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kendi (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shani (Guest) on August 10, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Farida (Guest) on July 7, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 3, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

David Musyoka (Guest) on June 28, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Sarah Karani (Guest) on April 29, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on April 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

George Wanjala (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 22, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on February 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on January 31, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on January 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on December 26, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mchuma (Guest) on October 11, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on September 22, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mercy Atieno (Guest) on September 17, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Robert Okello (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on August 26, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on August 14, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on July 24, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Kawawa (Guest) on June 9, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Mrope (Guest) on June 5, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on May 19, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kenneth Murithi (Guest) on May 6, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on April 18, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 10, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

πŸ“– Explore More Articles