Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.
Je, mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ubakaji ni nini?
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake... Read More
Jinsi ya kumfanya mpenzi au rafiki yako asiwe na mwingine
Jambo la muhimu ni kuwasiliana kwa karibu i ili kuelewa mawazo na matatizo ya rafiki yako. Hakiki... Read More
Jinsi ya Kuheshimu Maamuzi ya Mwenzi Wako kuhusu Ngono
Jinsi ya Kuheshimu Maamuzi ya Mwenzi Wako kuhusu Ngono π
Karibu kwenye makala hii nzuri... Read More
Mbinu za Kupata Tarehe na Wasichana kwa Mafanikio
Leo, tunazungumzia mbinu za kupata tarehe na wasichana kwa mafanikio. Kila mtu anataka kuwa na mp... Read More
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya VVU na UKIMWI
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya VVU na UKIMWI
Karibu vijana wapendwa! Leo, nataka kuzu... Read More
Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?
Wengi wa waathirika wa dawa za kulevya hukataa matatizo yao. Hudanganya kwa sababu hawataki kukub... Read More
Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?
Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test...
Read More
Sababu za matumizi ya dawa za kulevya
Zipo sababu nyingi zinazowafanya watu kutumia dawa za kulevya, nazo ni kama zifuatazo:
Watu ...
Read More
Sabau za ubakaji
Ni vigumu kuelewa nini kinamfanya mtu aweze kubaka mwingine.
Ubakaji ni aina nyingine ya uka...
Read More
Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu?
Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu? π€
Jambo zuri kujiuliz... Read More
Afya ya uzazi ni nini?
Jinsi ya Kuwa na Muda Mzuri na Msichana Bila Kutumia Fedha Nyingi
Kutumia fedha nyingi kupata muda mzuri na msichana siyo lazima. Kuna njia nyingi za kuwa na muda ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!