Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole na kuna madhara gani ukisugua uume na vidole?

Featured Image

Ndiyo, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole. Anaposuguliwa uume na vidole, msisimko wa mwili unaongezeka na damu zinaingia kwenye mishipa ya damu katika uume.

Basi, uume unasimama na mara nyingi ukiendelea kusuguliwa mvulana anamwaga mbegu zake. Kusugua uume ni njia salama ya kumaliza ashiki ya kutaka kujamii ana. Hakuna madhara yoyote ya kiafya wala kiakili kama uume unasuguliwa. Watu wengine wanasema kwamba kupiga punyeto inasababisha shida ya kisaikolojia kutokea na nguvu ya kiume kupungua. Wengine wanasema kwamba mtu anayepiga punyeto atashindwa kujamii ana na mwanamke. Lakini si kweli, ni uvumi potofu tu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kinga ya mwili ni nini?

Kinga ya mwili ni nini?

Kinga ya mwili ni mpangilio wa mwili kujikinga na maradhi. Chembechembe nyeupe zilizopo katika damu ... Read More
Je, mbegu za kiume zinaweza kupita kwenye kondomu?

Je, mbegu za kiume zinaweza kupita kwenye kondomu?

Hapana, mbegu za kiume haziwezi kupita kwenye kondomu. Kondomu zimetengenezwa ili kuzuia mbegu za... Read More

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi ni jambo muhimu sana. Kila mtu anap... Read More

Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?

Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?

Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi... Read More
Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? 😊✨

Karibu rafiki yangu!... Read More

Je, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI vinaambukiza kwa kujamiiana kwa njia ya sehemu ya haja kubwa au mdomoni?

Je, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI vinaambukiza kwa kujamiiana kwa njia ya sehemu ya haja kubwa au mdomoni?

Ndiyo, kuna hatari kubwa ya kuambukizwa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI wakati wa kujamii ana kwa nji... Read More

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Kufanya ... Read More

Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapenzi ya usiku au mchana?

Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapenzi ya usiku au mchana?

Leo hii, tutaongelea juu ya swali linalohusiana na ngono - Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapen... Read More

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mt... Read More

Ni siku gani katika mzunguko wa hedhi yai linapoweza kurutubishwa? Siku za hatari

Ni siku gani katika mzunguko wa hedhi yai linapoweza kurutubishwa? Siku za hatari

Yai mmoja hupevuka siku 14 kabla ya hedhi i i inayofuata. Baada ya yai kukomaa ndani ya kokwa la upa... Read More
Kwa nini ngozi ya Albino inafanana ya watu weupe?

Kwa nini ngozi ya Albino inafanana ya watu weupe?

Ngozi ya Albino ina ukosefu wa rangi. Inaonekana kama ya watu
weupe ambao wana kiasi cha pig... Read More

Kwa nini Ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini Ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini Ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? 😊

Habari za leo vijana wangu! Leo tut... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About