Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Sokoine (Guest) on June 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on May 30, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Amir (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on April 29, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on April 22, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwakisu (Guest) on April 8, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on March 25, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Sharon Kibiru (Guest) on March 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on January 13, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 8, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 26, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Hassan (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mchome (Guest) on October 28, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on September 16, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on August 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sharon Kibiru (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Betty Kimaro (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Mligo (Guest) on July 22, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rubea (Guest) on July 3, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mzee (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Omar (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 14, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Esther Cheruiyot (Guest) on May 10, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

James Mduma (Guest) on May 2, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on April 14, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on April 11, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 4, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Khadija (Guest) on December 24, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Samson Mahiga (Guest) on December 20, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on November 30, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Tibaijuka (Guest) on November 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on November 1, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 31, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Warda (Guest) on October 1, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Tabitha Okumu (Guest) on September 23, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Nyerere (Guest) on September 7, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Waithera (Guest) on September 6, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 8, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Omar (Guest) on August 1, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Mahiga (Guest) on June 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on June 8, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on May 20, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Elizabeth Mrope (Guest) on May 19, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tambwe (Guest) on May 14, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Carol Nyakio (Guest) on May 2, 2022

🀣πŸ”₯😊

Nchi (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 23, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on April 6, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on March 26, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on February 2, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on January 25, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Thomas Mtaki (Guest) on January 22, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on January 11, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on January 4, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

David Kawawa (Guest) on December 11, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.