Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Featured Image

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?
JAMAA: Ndio, kamba lakini kule mwisho kulikuwa kumefungwa ng'ombe
PADRI: Kwa hiyo uliiba ng'ombe?
JAMAA: Kiukweli nilikuwa nina lengo la kuiba kamba, kwa bahati mbaya mwisho kulikuwa na ng'ombe
PADRI: Mi naona mueleze Mungu direct, mi sikuelewi kabisaaa

πŸ™ˆπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ™Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Kikwete (Guest) on July 9, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Farida (Guest) on May 30, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 12, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on May 10, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on April 29, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 16, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Jabir (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Faith Kariuki (Guest) on March 20, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mariam Hassan (Guest) on March 12, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Hawa (Guest) on January 28, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Alice Wanjiru (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Jacob Kiplangat (Guest) on January 12, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on December 20, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on December 7, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on November 13, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 11, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Alice Mwikali (Guest) on October 8, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Betty Kimaro (Guest) on September 1, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on July 19, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Bakari (Guest) on July 16, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on July 6, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 13, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on April 20, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Amina (Guest) on March 26, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Wilson Ombati (Guest) on February 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Furaha (Guest) on January 27, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Mboje (Guest) on January 26, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mbithe (Guest) on January 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on January 15, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwajabu (Guest) on January 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Abubakari (Guest) on December 3, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Sharon Kibiru (Guest) on November 16, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on November 10, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Brian Karanja (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jane Muthui (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on September 28, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Athumani (Guest) on September 23, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Zainab (Guest) on September 23, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Nyerere (Guest) on September 7, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Shamsa (Guest) on July 30, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Miriam Mchome (Guest) on July 27, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Rahim (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Robert Okello (Guest) on June 17, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ramadhan (Guest) on May 30, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Salum (Guest) on May 28, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Shabani (Guest) on May 5, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mchawi (Guest) on April 4, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Richard Mulwa (Guest) on March 3, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on February 8, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alex Nakitare (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 10, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About