Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani. Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamsa (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Nyerere (Guest) on February 4, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Komba (Guest) on January 16, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 30, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Mahiga (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Peter Mugendi (Guest) on December 2, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Frank Sokoine (Guest) on November 7, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on October 28, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on October 26, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on September 2, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Hamida (Guest) on August 27, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Benjamin Kibicho (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on August 10, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 29, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on June 7, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on April 17, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yahya (Guest) on March 21, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on December 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on December 8, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on December 7, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on November 16, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on November 13, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Ahmed (Guest) on November 3, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on October 27, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on October 20, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on October 4, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on September 6, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Farida (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Arifa (Guest) on August 20, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Kamande (Guest) on August 16, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on July 24, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Safiya (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mchome (Guest) on July 5, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Emily Chepngeno (Guest) on June 28, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 31, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on May 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Paul Kamau (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Patrick Kidata (Guest) on April 27, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Lowassa (Guest) on April 21, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nashon (Guest) on April 14, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on April 6, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on March 19, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on February 21, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Farida (Guest) on February 14, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Grace Wairimu (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on February 1, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on January 24, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 12, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on January 8, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on November 30, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Ndomba (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on September 4, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About