Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Karani (Guest) on March 28, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Majaliwa (Guest) on March 22, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on February 21, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Jabir (Guest) on February 18, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on January 31, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mary Sokoine (Guest) on January 13, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on January 3, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Rose Mwinuka (Guest) on December 20, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on December 16, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on December 12, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Maneno (Guest) on November 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Akech (Guest) on November 12, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on November 10, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on November 6, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on November 1, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on October 13, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 28, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on September 22, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on September 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Violet Mumo (Guest) on August 29, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Kiwanga (Guest) on August 28, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 23, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rehema (Guest) on August 22, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joyce Mussa (Guest) on July 5, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mwambui (Guest) on June 29, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 18, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on June 17, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on June 4, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 31, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 6, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Warda (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Baridi (Guest) on April 10, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Margaret Mahiga (Guest) on April 4, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Majid (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Thomas Mtaki (Guest) on March 22, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Michael Onyango (Guest) on March 18, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Leila (Guest) on February 25, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Grace Majaliwa (Guest) on February 13, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on January 15, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Shamim (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ruth Wanjiku (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 19, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on November 9, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mary Kendi (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Asha (Guest) on September 19, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Victor Kimario (Guest) on August 30, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Lucy Mahiga (Guest) on August 9, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on August 5, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on August 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Zawadi (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Andrew Mchome (Guest) on July 20, 2017

Asante Ackyshine

Victor Sokoine (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

πŸ“– Explore More Articles