Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nahida (Guest) on July 22, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on May 18, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on April 30, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khalifa (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Carol Nyakio (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Njoroge (Guest) on April 3, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on September 30, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on July 17, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on July 2, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mercy Atieno (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Kendi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on May 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 5, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 23, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Hellen Nduta (Guest) on April 9, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Kabura (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on January 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwakisu (Guest) on December 14, 2018

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Latifa (Guest) on December 6, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Saidi (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zakia (Guest) on August 8, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on August 7, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Wilson Ombati (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on June 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Sokoine (Guest) on April 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Saidi (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Otieno (Guest) on March 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on February 26, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Abubakar (Guest) on January 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nuru (Guest) on December 30, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 23, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 6, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Malima (Guest) on November 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More