Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kiwanga (Guest) on July 19, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE
mtoto kamwambia mamayake mama naomba niangarie tivii mama akamjibu angaria ira usiwashe

Agnes Sumaye (Guest) on July 15, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE
Lizki nilizki tu
Shehe mmoja alipokuwa anatoka msikitini
Akaona kitamba kizulii kama kimefungwa nakitu ndani yake akikichukua nakufungua akakuta zahabu.
Akakikunja vilevile nakukiweka pale pale akaenda kwake nakumuadisia mkewe mkewangu leo wakati napita pale pamoja naile nembo nimeogota zahabu mke akastuka tumekuwa matajili tumekua matajili mmewangu ikowapi mme akajibu sikufanikiwa kuileta mkewangu hawezi juwa inavitu gani mke akalamika akafoka yani a a hatakama ndo shehe unaacha utajir unauwona hapana wemwanaume mume akamjibu kama niliziki itakuja hapahpa ndani mkea analiatu umeacha utajili naizi shidazetu hapana
Kumbe wakati wanaongea kunawaizi walikuwa banda lakuku wanaiba kuku wakaskia wakatoka mbio kwenda nembo alipofika wakakuta kile kitambaa kukifungua wakakuta mavi wakasema ahaaa yule mpuz alijisemesha vile ili tutoke itakuwa alikuwa ashatuona sasa tunaenda kumtupia maviake palepale kwake wakaenda paka nyuma yanyumba yyule shehe wakapitisha kilivondoka shehe kuangalia nizahabu

Andrew Mchome (Guest) on June 16, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Omari (Guest) on May 31, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rubea (Guest) on May 11, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 20, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on April 5, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 11, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Miriam Mchome (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mariam (Guest) on December 11, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on December 1, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on November 18, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anthony Kariuki (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Halima (Guest) on November 9, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Selemani (Guest) on November 2, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Wande (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on September 19, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Tabu (Guest) on September 11, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Simon Kiprono (Guest) on August 17, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Mwangi (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on August 2, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Mutheu (Guest) on July 19, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on July 15, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mwalimu (Guest) on July 4, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on June 13, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Kibona (Guest) on May 3, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Peter Mwambui (Guest) on April 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 5, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on March 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on March 17, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on February 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sekela (Guest) on January 19, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Nyerere (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Malecela (Guest) on January 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 17, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 12, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on October 27, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on October 22, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 12, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Related Posts

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More