Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa. MKE; Ilikuaje wewe ukapona? MUME; Nilikua chooni jirani na ofisi najisaidia. MKE; Loh maskini, familia zao itakuaje? MUME; Watalipwa million 100 kila mfiwa. MKE; KWA HASIRA, Ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela.. Ungeenda kunya akhera.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Daudi (Guest) on July 23, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on July 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jabir (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Kiwanga (Guest) on June 7, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on June 3, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Moses Mwita (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Raha (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Njeri (Guest) on March 12, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on February 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on January 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 5, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sultan (Guest) on December 26, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on December 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on November 29, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Elijah Mutua (Guest) on November 7, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Mahiga (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Susan Wangari (Guest) on October 12, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kenneth Murithi (Guest) on October 11, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 12, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Farida (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Ochieng (Guest) on August 11, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 31, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on July 24, 2018

😊🀣πŸ”₯

Jamila (Guest) on July 10, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Aziza (Guest) on May 29, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Kibona (Guest) on May 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on May 9, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on April 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mariam (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on April 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on February 22, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on February 2, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ann Wambui (Guest) on January 18, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Tabitha Okumu (Guest) on January 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on December 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on December 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on December 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Sofia (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Mligo (Guest) on December 7, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Abdillah (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Mligo (Guest) on November 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Leila (Guest) on November 3, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Aoko (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Daudi (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Elizabeth Malima (Guest) on September 11, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on September 9, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Shamsa (Guest) on August 30, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 18, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on August 7, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on July 30, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on July 23, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on June 30, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on May 14, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 9, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 3, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Related Posts

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More