Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rukia (Guest) on September 14, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on September 11, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joyce Nkya (Guest) on July 27, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on July 9, 2019

😊🀣πŸ”₯

Fatuma (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Mahiga (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on June 21, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Kheri (Guest) on June 7, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mahiga (Guest) on May 23, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 22, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 10, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Husna (Guest) on March 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 4, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on February 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Arifa (Guest) on February 2, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Janet Wambura (Guest) on January 23, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on December 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on November 30, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on November 19, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

George Tenga (Guest) on November 14, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on November 6, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on November 3, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on October 16, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Husna (Guest) on September 8, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Wanjala (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Bahati (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on July 16, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on July 11, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Mrope (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Agnes Njeri (Guest) on May 11, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on May 6, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on May 4, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Shukuru (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on April 12, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rukia (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on April 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on April 4, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Kimaro (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Esther Nyambura (Guest) on March 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Habiba (Guest) on February 28, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on February 3, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on February 1, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Violet Mumo (Guest) on January 18, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on January 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

πŸ“– Explore More Articles