Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nora Lowassa (Guest) on November 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Jamila (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mushi (Guest) on October 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jackson Makori (Guest) on September 18, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on September 5, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on June 18, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Paul Kamau (Guest) on June 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on June 1, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lucy Mushi (Guest) on May 21, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Rose Mwinuka (Guest) on May 18, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mwalimu (Guest) on May 4, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Mallya (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on April 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on March 29, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Habiba (Guest) on March 26, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Wairimu (Guest) on March 13, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on March 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Tabu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Njoroge (Guest) on February 7, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Njuguna (Guest) on February 7, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rahma (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Umi (Guest) on January 20, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on January 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Mrope (Guest) on January 3, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on December 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on December 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yahya (Guest) on December 13, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joyce Aoko (Guest) on November 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on October 23, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Habiba (Guest) on September 30, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Leila (Guest) on September 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Mtangi (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on September 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 1, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on May 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on April 7, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on February 28, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on February 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on February 11, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Irene Akoth (Guest) on December 6, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on December 2, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Amir (Guest) on November 28, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Biashara (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on October 15, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

George Ndungu (Guest) on October 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nuru (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on September 3, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on September 1, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hellen Nduta (Guest) on July 27, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Farida (Guest) on April 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on April 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About