Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on August 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Kamande (Guest) on July 30, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 25, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Safiya (Guest) on June 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Miriam Mchome (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on May 8, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on April 28, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on March 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on March 3, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Selemani (Guest) on January 24, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 23, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on December 18, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Umi (Guest) on November 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on October 3, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on June 15, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on April 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Lowassa (Guest) on March 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 20, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 1, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on January 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issa (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on November 21, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on November 9, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on October 26, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Makena (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on October 8, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maneno (Guest) on September 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanajuma (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Kibwana (Guest) on August 16, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on August 12, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 4, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on June 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on June 11, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 10, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Njeri (Guest) on April 15, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About