Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake. Akarudi mpaka kwa secretary na mazungumzo yakaendelea: BOSS: Bibie ulivyoona geti wazi je uliona benz langu lime paki au…? SECRETARY: Hapana Boss niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on March 29, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Mushi (Guest) on March 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on March 16, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Mchome (Guest) on March 5, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Salum (Guest) on March 4, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Catherine Naliaka (Guest) on February 17, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on February 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Philip Nyaga (Guest) on January 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on December 25, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Hekima (Guest) on December 1, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edith Cherotich (Guest) on November 25, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Diana Mumbua (Guest) on November 6, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

George Mallya (Guest) on October 28, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Grace Mushi (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on October 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on October 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Sokoine (Guest) on October 4, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Bahati (Guest) on September 16, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on August 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on August 16, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Josephine Nekesa (Guest) on July 27, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on July 27, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nakitare (Guest) on July 18, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Lowassa (Guest) on June 26, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Baraka (Guest) on June 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Frank Macha (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Charles Wafula (Guest) on April 24, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

John Mushi (Guest) on April 6, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Amir (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Michael Onyango (Guest) on March 20, 2016

Asante Ackyshine

Shamim (Guest) on March 10, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Emily Chepngeno (Guest) on March 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on January 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on January 22, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on January 19, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Alice Wanjiru (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mwinyi (Guest) on November 25, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Wande (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwachumu (Guest) on November 8, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on November 2, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sumaya (Guest) on September 16, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Lowassa (Guest) on August 24, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Umi (Guest) on August 17, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mwanaisha (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nduta (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Kawawa (Guest) on June 18, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Vincent Mwangangi (Guest) on June 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Maimuna (Guest) on May 21, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Wambura (Guest) on May 7, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About