Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Thomas Mtaki (Guest) on July 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Leila (Guest) on July 4, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Brian Karanja (Guest) on June 23, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Zakia (Guest) on June 9, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on May 23, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on May 18, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on May 7, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on April 26, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

John Mwangi (Guest) on April 14, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Issa (Guest) on March 18, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kahina (Guest) on March 16, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Alice Wanjiru (Guest) on March 7, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jamal (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on February 19, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Raha (Guest) on February 2, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Betty Kimaro (Guest) on January 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Maneno (Guest) on December 8, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Anna Kibwana (Guest) on November 18, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Odhiambo (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on October 31, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 6, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on September 12, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwachumu (Guest) on September 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mwikali (Guest) on August 10, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on July 15, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on July 1, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on June 25, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on June 12, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on May 30, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 19, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on May 3, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on May 2, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on April 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 16, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Sokoine (Guest) on March 13, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on March 12, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on January 12, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on October 12, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwalimu (Guest) on August 29, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Kitine (Guest) on August 17, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Daniel Obura (Guest) on July 3, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salima (Guest) on June 25, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Kenneth Murithi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on May 28, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Furaha (Guest) on May 16, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Sultan (Guest) on May 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

πŸ“– Explore More Articles