Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenziโ€ฆ.kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lakoโ€ฆ

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

๐Ÿ’ฆ๐Ÿ˜†๐Ÿ’ฆ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kevin Maina (Guest) on August 7, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐Ÿ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mercy Atieno (Guest) on July 22, 2015

๐Ÿ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Robert Ndunguru (Guest) on July 16, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

John Mwangi (Guest) on June 30, 2015

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Mwanais (Guest) on June 22, 2015

๐Ÿ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Richard Mulwa (Guest) on June 20, 2015

๐Ÿ˜ Imeongezwa kwenye vipendwa!

Diana Mumbua (Guest) on June 12, 2015

๐Ÿ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Kendi (Guest) on May 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

David Ochieng (Guest) on May 23, 2015

๐Ÿ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on May 12, 2015

๐Ÿ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joy Wacera (Guest) on April 28, 2015

Hii ni joke ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on April 28, 2015

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Mwinyi (Guest) on April 12, 2015

๐Ÿคฃ Ninaituma sasa hivi!

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangiโ€ฆ kiberiti kikawaishiaโ€ฆ wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:ย Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:ย kitu... Read More

Duh! Wanaume jamaniโ€ฆ

Duh! Wanaume jamaniโ€ฆ

Lakini sisi wanaume hatuko fair โ€ฆ Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More