Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupanga kuzaa aina fulani ya mtoto. Tulivyoona juu ni mwanaume ndiye aliye na aina mbili za mbegu. Aina moja husababisha kutokea mtoto wa kike na aina nyingine mtoto wa kiume. Mwanaume hana uwezo wa kuhakikisha achangie aina ya mbegu gani. Kwa hiyo, hata kama ni mwanaume anayeyakinisha jinsia ya mtoto, hana kosa, kwa sababu hana uwezo wa kuamua achangie mbegu ya aina gani.
Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka... Read More
Je, Ni Vipi naweza kuacha Kufanya Ngono Baada ya Kuanza?
Je, Ni Vipi naweza kuacha Kufanya Ngono Baada ya Kuanza?
Jambo la kwanza kabisa, napenda k... Read More
Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ... Read More
Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba?
Je, Ni Sahihi Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba? πΌπ
Tunaelewa kwamba vijana wetu ni kikun... Read More
Je, umewahi kujaribu njia mpya za kufurahisha katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, umewahi kujaribu njia mpya za kufurahisha katika ngono/kufanya mapenzi?
Kama wewe ni m... Read More
Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?
Wapo baadhi ya Albino wenye macho ya kuchezacheza na
ambayo hayawezi kulenga pamoja. Hii ina...
Read More
Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Karibu kwenye blogi hii ambapo tutazungumzia kuhusu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufa... Read More
Kama sitaki kujamiiana kabla ya ndoa, nifanye nini ili kuondokana na adha ya vishawishi vya hao ambao ameshaanza kujamiiana?
Kama umeamua kutojamiiana kabla ya ndoa, huo ni uamuzi mzuri na ni haki yako. Kutojamiiana kabla ... Read More
Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu?
Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu? π€
Jambo zuri kujiuliz... Read More
Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana
Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana
Mawasiliano ni muhimu katika kila uhusia... Read More
Jinsi ya Kuwa na Furaha na Msichana Wako
Jinsi ya Kuwa na Furaha na Msichana Wako
Kuwepo kwa mtu ambaye unampenda na kujali ni jamb... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!