Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto.
Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ni umri gani ambapo vijana wanapaswa kuelezwa juu ya afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?
Vijana balehe wote wana haki ya kupata habari juu ya mambo yote
wanayoyapenda. Watoto wanavy...
Read More
Vidokezo vya Kuweka Uhusiano wako na Msichana Hai
Mapenzi ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila mwanadamu, na kwamba uhusiano wa kimapenzi ni s... Read More
Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv...
Read More
Je, ni muhimu kuwa na usawa wa ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?
Habari za leo wapenzi! Sijui kama umewahi kujiuliza kuhusu umuhimu wa usawa wa ngono/kufanya mape... Read More
Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha
Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha
Hakuna ubishi kwamba mai... Read More
Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Jibu ni ndiyo, kuna... Read More
Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili suala la tofauti za kitamaduni katika mtazamo ... Read More
Je, ngono/kufanya mapenzi ni muhimu kwa afya ya mwili na akili?
Je, ngono/kufanya mapenzi ni muhimu kwa afya ya mwili na akili?
Hapana shaka, kufanya mape... Read More
Vidokezo vya Kufanya Msichana Aonekuwa Muhimu katika Maisha Yako
Mwanamke ni hazina kubwa katika maisha ya kila mwanaume. Ni kiumbe chenye thamani, cha thabiti na... Read More
Vidokezo vya Kufanya Msichana Ahisi Anapendwa na Kuthaminiwa
Habari za asubuhi wapendwa! Leo, tutajadili vidokezo muhimu ambavyo vitamsaidia msichana ahisi an... Read More
Je, ni tabia zipi zinazochangia kuenea kwa virusi vya UKIMWI?
Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!