Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Mushi (Guest) on July 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 21, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on May 17, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 16, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Mahiga (Guest) on May 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Samuel Were (Guest) on May 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on March 19, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on March 4, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 6, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on December 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Maimuna (Guest) on October 31, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jamila (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 10, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on September 28, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 16, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sofia (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Christopher Oloo (Guest) on July 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kassim (Guest) on May 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Irene Akoth (Guest) on May 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 6, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nekesa (Guest) on April 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Wilson Ombati (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Majid (Guest) on February 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mustafa (Guest) on February 8, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 7, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on January 9, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on December 25, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Francis Njeru (Guest) on December 24, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on December 13, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Safiya (Guest) on November 30, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Salima (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Kawawa (Guest) on October 30, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Zulekha (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mrema (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwakisu (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Linda Karimi (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Faiza (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 20, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Anna Mahiga (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Related Posts

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More